Saturday, May 21, 2011

Furaha Guest House


Ukitokea Mikumi kwenda Iringa baada ya kumaliza kona za Iyovi na kuvuka daraja la mto Ruaha, pale Ruaha Mbuyuni tazama upande wa Kushoto utakutana na Guest safi Furaha Guest House! Chumba Tshs 3,000/= kwa siku (nimeambiwa).

No comments: