Saturday, May 7, 2011

Kisemvule na michezo


Moja ya shughuli zinazofanyika katika kijiji cha Kisemvule kilichopo wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani ni Michezo. Mwezi Machi mwaka huu Kijiji kilitoa Kikombe kwa mshindi wa Kwanza Timu ya Wakali Kwanza baada ya kuifunga Klabu kongwe ya kijijini hapo Kisemvule Sport. Pichani viongozi wa Kata na Kijiji wakiangalia mechi ya fainali.

No comments: