Saturday, May 21, 2011

Unapoingia kituo cha Utafiti wa Kilijmo Uyole


Hapa ndipo yalipo makao Makuu ya Utafiti wa Kilimo kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Uyole, Mbeya. Kituo hiki ni maarufu kwa utafiti wa mahindi, maharage, mpunga na mbogamboga.

No comments: