Saturday, May 7, 2011

Ujumbe wa Pasaka kutoka Kwa Kardinali Pengo

Ibada ya Pasaka Parokiani Vikindu iliendeshwa na Kardinali Polycarp Pengo (Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar Es Salaam). Ujumbe wa Baba Kardinali Pengo ulikuwa ufufuko wa Bwana Wetu Yesu Kristu haupaswi kuhojiwa. Hii ni moja wa vipaji vyake Mungu.

No comments: