Monday, May 2, 2011

Miaka 70 ya Ndoa

Mzee Mathias na mkewe katika ibada ya maadhimisho ya miaka 71 ya ndoa yao iliyofanyika siku ya Jumatatu ya Pasaka(25/4/2011)katika Parokia ya Vikindu, Jimbo la Dar Es Salaam.

No comments: