Friday, April 29, 2011

Watoto wa Utatu walikuwepo

Watoto wa Utatu Mtakatifu walitoa burudani ya pekee kwenye misa takatatifu ya Pasaka iliyoongozwa na Mhasahamu Askofu Kardinali Polycarp Pengo katika Parokia ya Vikindu.

No comments: