Tuesday, April 19, 2011

Paroko Tom alihubiri


Paroko Tom katika mahubiri yake wakati wa sikukuu ya Matawi alitoa ujumbe mzito kuwa ni mara ngapi tuna mkana Kristo kama vile Petro alivyomkana Yesu. Alitusihi tuishi kama Wakristu na kuonyesha matendo mema. Mateso ya Bwana wetu Yesu Kristu tuyatafakari kwa kina wakati tukijiandaa kwa PASAKA.

No comments: