Tuesday, April 19, 2011

Amepanda punda mwana wa Mungu


Jana Jumapili (17/4/2011) Wakristu wote Duniani walisherehekea sikukuu ya matawi. Waumini wa Parokia ya Vikindu Jimbo kuu la Dar Es Salaam kabla ya ibada takatifu walifanya maandamano huku wakipungia matawi na msalaba ukituongoza.

No comments: