Friday, April 1, 2011

Dufu


Dufu ni aina ya ngoma itumiwayo katika kisomo cha maulid kwa dini ya kiislamu. Hivi sasa jijini huku Pwani kuna vikundi mbalimbali vya kutumbuiza wakati wa kisomo cha maulid. Hakika dufu imebadilika sana na huchezwa kwa staili tofauti na za kusisimua

No comments: