Friday, April 1, 2011

Mzee Juma wa Kisemvule


Kila kijiji hakikosi wazee. Kijijini Kisemvule kuna mzee mmoja al maarufu wa jina la Juma. Mzee Juma ni mchacharikaji sana katika maisha. Licha ya kujenga nyumba yake ametoa eneo ili msikiti wa kisasa uweze kujengwa na waamini wafanye Ibada. Pichani Mzee Juma akiwa karibu kabisa na msikiti aliosimamia kujengwa hapo kijijini. Msikiti huu upo karibu sana na shule ya msingi Kisemvule.

No comments: