Thursday, April 21, 2011

TUGHE-KILIMO YACHAGUA VIONGOZI




Tarehe 13/4/2011 Tawi la TUGHE Kilimo Makao Makuu lilifanya Uchaguzi wake Mkuu kwa Halmashauri Kuu ya Tawi. Bw. Lazaro Kitandu (Afisa Kilimo Mkuu) alichaguliwa kuwa Mwenyekiti na Bw.Abdallah Mbonde (Msaidizi wa Ofisi Mkuu) alichaguliwa kuwa Katibu. Viongozi hao pamoja na wajumbe Takribani 13 wa Halmashauri Kuu wataongoza Tawi kwa kipindi cha miaka 5.Banzi wa Moro inawapongeza na kuwatakia mafanikio. Picha wanachama katika mkutano wa uchaguzi.

No comments: