Thursday, January 21, 2016

DAR ES SALAAM ya leo siyo ya jana






Hivi ndivyo ilivyo kwa sasa Dar. Mji unakua kwa kasi ya kutisha. Sekta ua Ujenzi inaongoza. Picha hizo zinaonyesha hali hali kandao ya barabara ya Uhuru sehemu za Ilala (picha za Juu) na hizi za chini ujenzi unaoendelea kando ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Kawawa pale Morocco.

No comments: