Thursday, January 21, 2016

Hii ndiyo CT-SCAN

Hiki ndicho chombo kinachoitwa CT-SCAN ambacho ni muhimu kuwepo kwenye maabara kwa ajili ya vipimo maalumu. Ni chombo ghari sana. Walio kwenye sekta ya tiba wanaweza kutujuza zaidi umuhimu wa chombo hiki.

No comments: