Tuesday, November 3, 2009

Usichelewe kusajili sim card yako


Makampuni ya simu yanayotoa huduma hapa nchini yanaendelea na zoezi la kusajili simu card kwa wateja wake. Blog hii imeshasajili simu card zake za Zain na Vodacom siku ya Jumapili. Zain hawana mlolongo mrefu wa mambo katika kusajili.Tatizo liko kwa Tigo inabidi usote katika foleni. Vipi Tigo ndo tuseme mnawateja wengi? Mimi siamini hata kidogo, hebu boresheni huduma zenu. Banzi wa Moro bado hajasajili simu card yake ya Tigo.

No comments: