Tuesday, November 3, 2009

HONGERA SIMBA SPORTS CLUB


Mimi ni shabiki wa Club ya Simba au Wekundu wa Msimbazi. Nawapa hongera nyingi wachezaji, coach na viongozi wa klabu kwa ushirikiano mliouonyesha hadi kufanikiwa kuwashinda wapinzani wetu wa jadi Dar Young Africans kwa goli 1-0 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Mgosi nakupa shavu mdogo wangu!

1 comment:

Belo said...

Hongereni sana mwaka huu wenu