Wednesday, June 12, 2013

Bibi Josephine Mutahangarwa asalimiana na Kardinali Pengo

Bibi Josephine Mutahangarwa a.k.a. Bibi Jeshi (aliyeshikiliwa) wa Vikindu akisalimina na Muadhama Polycarp Kardinali Pengo. Bibi Josephine ndiye aliyetoa ardhi ya kujenga Kanisa la Parokia ya Vikindu. Mmoja wa wageni waalikuwa katika sherehe ya ufunguzi wa Seminari ya Vicentian, Vikindu

No comments: