Wednesday, June 12, 2013

Kardinali Polycarp Pengo azungumzia imani ya Kanisa Katoliki

Kanisa inaamini juu ya Utatu Mtakatifu:- Baba na Mwana na Roho Mtakatifu ndiyo muhimili wa Kanisa. Muadhama Kardinal Polycarp Pengo aliyasema hayo kwenye ibada ya misa takatifu ya kutoa sakramenti ya Kipaimara kwenye Parokia ya Mt.Visent wa Paulo-Vikindu tarehe 9/6/2013.

No comments: