Wednesday, June 12, 2013

Seminari ya Vikindu yafunguliwa rasmi

Vicentian Seminary, Vikindu ilifunguliwa rasmi na Muadhama Polycarp Kardinali Pengo tarehe 9/6/2013. Seminari hii ni ya Kwanza hapa Afrika kwa shirika la Visenti na limeanza na waseminari 7 (5 Kenya, 2 Uganda).Wosia wa Kardinali Pengo kwa Seminari hiyo ni kuwalea waseminari kwa misingi ya kanisa bila kuleta aibu kwa kanisa kama ambavyo imeshawahi kutokea katika seminari nyingine.Wasiofaa waondoke mapema.

No comments: