Friday, June 7, 2013

Hivi ndivyo tulivyojifunza kusoma ramani

Nilipokuwa shule ya msingi nilipenda somo la jiografia kwa sababu ya kuchora ramani. Hii imeniwezesha pia kuchukua combination ya CBG(Chemistry, Biology and Geography) nikiwa A level pale Tosamaganga.Ramani hii ya Africa imechorwa kwenye moja ya jengo la Shule ya Msingi ya Carmel, Vikindu. Hakika hapa atapatikana CBG mwingine.

No comments: