Friday, October 23, 2015

Mara ya mwisho ya kula chakula na Mangengesa Mdimi

Katikati ni mjomba wetu Charles Pius Hugo kushoto akichekesha,mama Dolorosa Mdimi na kulia ni Mzee Chrispin Mangengesa Mdimi ( R.I.P.) hii ni picha ya ukumbusho wa chakula cha pamoja na Mzee Mdimi wakati wa kupokea mahali ya binti wake wa mwisho Bi.Hellena Mdimi pale External-Makuburi jijini Dar. Mzee Mdimi  alifariki tarehe 12/10/2015 na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni tarehe 15/10/2015.

No comments: