Friday, October 23, 2015

Niliosoma nao Kirusi-Tashkent

Hili ndilo kundi nililosoma nalo lugha ya Kirusi nikiwa Tashkent, Uzbekstan ( former republic of USSR). Hapa naweza kuwakumbuka wachache kwa majina. Kushoto kwangu ni Osama kutoka Syria anayefuata ni Dada Aurelia kutoka Madagascar (Huyu alikuwa ni mkali wa computer, Hesabu na Kirusi) wengine ni madada kutoka Nicaragua. Ilikuwa ni mwaka  1987 katika Kitivo cha Maandalizi ya Wanafunzi.Baadaye niliendelea na masomo yangu katika mji wa Simferepol huko Ukraine mji ambao Russia umeuchukua tena kama sehemu ya nchi yao.

No comments: