Friday, October 23, 2015

Upendo wa Waafrika

Tulipokuwa nchini Swaziland kwa mafunzo ya muda mfupi  mtoto huyu,mama yake na baba yake ambaye ni mfanyakazi wa Mananga  Centre for Regional Integration and Management Development walikuwa nasi kwenye safari ya kutembelea mji wa Nelspruit nchini Afrika ya Kusini. Angalia jinsi Waafrika walivyo na upendo. Hii ni nadra sana kutokea huko Ulaya.

No comments: