Friday, October 23, 2015

Vijana wanapopenda vitu ghali!

Kijana wangu Sisty Banzi anapenda sana magari. Angalia jinsi alivyodiriki kupiga picha mbele ya gari ya babu yake Dr. Gregory  P.Mluge (R.I.P). GMC ni gari ya kimarekani.Ni gari zuri na la kifahari lakini matumizi yake ya mafuta utachoka mwenyewe hata bei ya vipuri ni ghali sana. Lakini kupanga ni kuchagua. Akitaka kumiliki gari kama hili lazima ajitume katika kazi na kuingiza kipato cha kutosha. Vinginevyo ataishia kupiga picjha mbele ya gari ya babu!

No comments: