Thursday, December 17, 2015

Maabara ya udonngo kituo cha Utafiti Kilimo Mlingano





 Jukumu Kuu la kituo cha Utafiti wa Kilimo Mlingano kilichoko wilaya ya Muheza mkoani Tanga nchini Tanzania ni kufanya utafiti wa udongo kwa ajili ya ustawishaji wa mazao mbalimbali hapa nchini. Kituo hiki kina maabara kubwa ya utafiti wa udongo tunaweza kuiita ni maabara ya rufaa kwa rutuba ya udongo nchini Tanzania. Hapa unaweza kupata majibu ya aina ya udongo na ushauri wa zao gani la kustawisha ili kuongeza uzalishaji na tija.

No comments: