Monday, November 22, 2010

Alipohutubia walitoka



Wakati Rais Jakaya Kikwete alipolihutubia Bunge jipya kwa mara ya kwanza Novemba mwaka huu. Wabunge wa CHADEMA walitoka ukumbini. Kisa? Hawamtambui RAIS. Hivi muswada ukipitishwa Bungeni mtu wa mwisho kusaini ni nani?

No comments: