Monday, November 22, 2010

Utamu wa pweza uonje!


Zamani nilikuwa sili pweza lakini siku hizi nikiwaona tu wamekaangwa na kuwekwa mezani pale Buguruni au Mbagala sikosi kuonja kipande kimoja au viwili. Kuna vipande vinavyouzwa sh.100/= (kidogo) na kikubwa sh. 200/=. Ukitaka kumfaidi pweza lazima uweke chachandu. Angalia bakuli la chachandu pichani.

No comments: