Monday, November 22, 2010

Hatujamuelewa Papa kuhusu matumizi ya Kondom


Baba Mtakatifu Benedict xvi hajahalalisha matumizi ya kondom kama wengi wanavyodai. Alichosema pale inapobidi ili kuokoa UHAI Kondom inaweza kutumika. Inabidi tutafakari kwa kina vinginevyo tunaweza kupotosha.

No comments: