Thursday, November 4, 2010

Mjomba hakosi zawadi


Ningekuwa Matombo ningepeleka kuku au mbuzi na mke wangu asingekosa kikapo cha mpunga. Kwa kuwa shughuli hii ilifanyika katika mazingira ya kileo tena mjini Morogoro zawadi yangu ilikuwa ni hii. Msiniulize kilichomo ndani ya box!

No comments: