Monday, November 1, 2010

Ulikuwa mwezi wa shughuli


Tulianza kwa kumwaga Joyce Kyando Luhungu. Baadaye Ushemasi wa tarehe 23/10/2010Jakka Oscar wa Morogoro.Jioni kule Mikumi Send-Off ya Amina Omary Jakka. Kesho yake 24/10/2010- Morogoro, Komunio ya kwanza ya Eric Mkoba. Watu ni wale wale ilibidi wengine wagawane kwani kote kulituhusu. Lakini kuna wale waliobahatika kuhudhuria shughuli zote tatu Mungu awabariki. Pichani Amina Jakka(kulia) akiwa na mmewe kwenye Send-Off ya Mikumi.

No comments: