Tuesday, March 1, 2011

Aibu!


Aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la Bunda hivi karibuni alishushwa jukwaani na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Wilbroad Slaa baada ya wafuasi wa chama hicho jimboni humo kumtuhumu kuwa alihongwa wakati wa kampeni za uchaguzi na kusababishwa chama hicho kushindwa. Aibu!

No comments: