Wednesday, March 23, 2011

Watamani Kiswahili

Katika mazungumzo yangu na mmoja wa wakilishi wa Warsha ya Kujenga Uwezo katika Utafiti wa Kilimo Afrika katika nchi za SADC alionyesha mapenzi makubwa katika lugha ya Kiswahili, huyu alikuwa kitoka nchini Swaziland.Kwa maoni yake angependa kuona kuwa Kiswahili kinatumika katika nchi za SADC.

No comments: