Friday, March 25, 2011

Wote tutafika kwa babu?


Wanaokwenda Loliondo kwa babu kupata KIKOMBE ni wengi. Viongozi na wananachi wa kawaida, matajiri na mafukara, rika na jinsi mbalimbali. Kufika Loliondo kila mgonjwa hutumia aina ya usafiri anao umudu ili mradi apate Kikombe cha Babu!

No comments: