Friday, March 25, 2011

Kabwe utajiri mkononi


Tanzania tunao utajiri mkubwa wa mali asili hasa madini. Madini ya chuma yanapatikana kwa wingi nchini mwetu. Pichani Mbunge Zitto Kabwe akilifurahia dini la chuma. Tatizo ni nini? Teknolojia? Mipango au?

No comments: