Tuesday, August 16, 2011

Hivi sasa Kibungo Juu


Baada ya kufundishwa teknolojia mbalimbali za kilimo bora na hifadhi ya ardhi. Wakulima wa Kibungo Juu wanaendesha kilimo chenye tija. Wanalima kwenye miteremko na kuhifadhi ardhi. Ona maharagwe yalivyostawi!

No comments: