Tuesday, August 2, 2011

JK afungua maonyesho ya Wakulima 2011

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akishangaa mkungu wa ndizi katika viwanja vya maonyesho ya kilimo mjini Dodoma viwanja vya Nzuguni wakati alipofungua maonyesho hayo jana.

No comments: