Monday, August 1, 2011

Mwenyekiti wa Africana awataka wanakikundi kulipa ada za uanachama

Tarehe 17/7/2011 kikundi cha Africana kilichopo jijini Dar kilifanya kikao chaker cha mwezi nyumbani kwa Bw. Gaitan Banzi huko Kimara Temboni. Moja ya maazimio makuu yaliyotolewa kwenye kikao hicho ni kuwataka wanakikundi kukamilisha malipo ya ada ya kila mwezi kuanzania mwaka jana hadi Desemba 2011. Pichani Mwenyekiti wa kikundi hicho Bw. Innocent John Banzi akitoa msisitizo wa jambo hilo.

No comments: