Tuesday, August 16, 2011

Tunalisha na kuhifadhi ardhi


Majani yajulikanyo kwa jina la mabingobingo yanatumiwa na wakulima wa Kibungo Juu wilayani Morogoro vijijini kwa kulishia mifugo hasa mbuzi na nguruwe pamoja na kuhifadhi ardhi. Pichani mkulima akimuonyesha Banzi wa Moro majani hayo katika banda la Maonyesho ya Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi.

No comments: