Tuesday, August 16, 2011

'LUP' yafanya kweli 8/8 Moro


Idara ya Hifadhi na Matumizi Bora ya Ardhi ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika imefanya kweli katika maonyesho ya Wakulima (Nane Nane) 2010 kanda ya Mashariki mkoani Morogoro wameleta wakulima halisi kutoka Tarafa ya Kibungo wilaya ya Morogoro vijijini. Wakulima hawa wanashiriki katika mpango wa kuhifadhi vyanzo vya maji pamoja na utunzaji na matumizi bora ya ardhi.

No comments: