Saturday, February 27, 2016

Harusi ya Macarios Banzi-Tunatua kanisani





Ni kawaida watun kuhudhuria reception na si ibada takatifu ya ndoa. Kwa Macarios Banzi ilikuwa ni kinyume. Ndugu,marafiki,jamaa na wageni waalifika walifika Kanisani kwa ibada. Pichani ndugu waliokuwa nyumbani Kisemvule wakishuka katika bus maalum tayari kwa ibada hiyo kanisani Vikindu tarehe 6/2/2016

No comments: