Saturday, February 27, 2016

Harusi ya Macarios Banzi- Watu walicheza sana









Harusi ya Macarios- Kila mmoja aliyekuwa ukumbuni alicheza jinsi alivyogusa kuna wale waliogswa na ngoma ya asili ya shilingi 2 kuna sisi vijana wazamani tulioguswa na old is gold na vijana walicheza bongo flava na kwaito. Woo kwa kweli hapakukalika. Hebu check picha ya chini kabisa mimi mambatsa mu moko pamoja na Mr.Mkude tukiyarudi magoma!

No comments: