Wednesday, January 23, 2008

ASANTE WASOMAJI WA BLOG-Banzi wa Moro

Nimepata maoni ya wasomaji wa blog hii- Pets na Belo asante sana kwa maoni yenu. Kwani yameniongeza nguvu mpya. Kuna mmoja amekuja na takwimu kabisaa! Mwaka 2006 nimeandika makala 16, mwaka 2007 , 16 tena bila kufumba macho akasema kweli nilikuwa mvivu. Hata mimi nimeliona hilo. Ndo maana nimejiwekea malengo kwa mwaka 2008 (100).


Asanteni sana

No comments: