Saturday, December 4, 2010

Dr.Kafiriti na mamaa


Muda wa sherehe za kuagwa wastaafu. Dr. Elly Kafiriti - Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo kanda ya Kusini alikuwa makini kabisa kwenye meza yake pamoja na mkewe. Kanda hiyo iliwazawadia vifurushi vya korosho wastaafu wote pamoja na viongozi wapya wa Idara wa lioteuliwa akiwemo Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo Dkt. Fidelis Myaka.

No comments: