Saturday, December 4, 2010

Timothy Kirway

Kwa wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo jina la Kirway si geni. Kwanini? Kirway aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi Utafiti wa Mifumo ya Kilimo na Uchumi Jamii kama ilivyo kwa wafanyakazi waliozaliwa mwaka wa 1950 alistaafu rasmi katika utumishi wa umma mapema mwaka huu. Mzee Kirway atakumbukwa zaidi kwa kuchapa kazi na umakini wa kazi na hasa ufuatiliaji na utunzaji wa kumbukumbu. Daima alisimamia haki na usawa. Ndiye hasa mwanzilishi wa utafiti shirikishi na mifumo ya kilimo hapa nchini.Pichani katika kumbukumbu ya kuagwa kwake akiwa na mkewe katika viwanja vya KILIMO II tarehe 19/11/2010.

No comments: