Saturday, December 4, 2010

Tunywe kwa afya zetu



Unapokuwa na furaha unakunywa na kula na ndugu zako, marafiki zako, wafanyakazi wenzako na wengine. Ndivyo wanavyosema wastaafu waandamizi wa Idara ya Utafiti na Maendeleo walioagwa hivi karibuni.

No comments: