Saturday, February 18, 2012

Kuongezeka kwa pikipiki

Taifa limeshuhudia ongezeko kubwa la pikipiki mijini na vijijini. Je hii tafsiri yake ni nini? Ni kiashiria cha kukua kwa uchumi au imetokana na haja ya kukabiliana na tatizo kubwa la usafiri mijini na vijijini. Utafiti usio rasmi unaonyesha kubwa wamiliki wa wamiliki wa pikipiki hizi kwa asilimia kubwa ni vijana wa kiume huku wengine wakipata huduma za usafiri.Licha ya kusababisha ajali nyingi, ongezeko la pikipiki kwa kiasi kikubwa limesaidia kurahisha usafiri hasa vijijini. Pengine ni kiashiria cha kukua kwa uchumi nchini.

No comments: