Wednesday, February 1, 2012

Mhadhiri Sheila Mziray

Mama Sheila Mziray ni Mhadhiri Mwandamizi Chuoni ESAMI ni mtalaamu wa Raslimali Watu na masuala ya Menejimenti. Unauzoefu wa miaka mingi kwa kufanya kazi katika taasisi mbalimbali moja wapo ikiwa 'World Vision'. Kazi nyingi za kitaalamu amezifanya ndani na nje ya nchi kama vile Malawi na Zambia. Huyu ni mmoja kati ya wahadhiri waliotupatia utaalamu,mbimnu na uzoefu katika masuala ya JINSIA kwa muda wa wiki mbili za mafunzo pale ESAMI.Tanzania tuna wataalamu ambao wanakubalika ndani na nje ya nchi lakini hatuwatumii ipasavyo. Jirani zetu wanafaidika na wataalamu wetu sisi tunapiga usingizi au tunawadharau! Pichani Mhadhiri Mziray akiwa darasani na pia wakati wa chakula cha pamoja (special lunch)siku ya kuhitimu mafunzo yetu

No comments: