Tuesday, January 31, 2012

Mazinde- Stesheni bila gari moshi


Hivi ndivyo ilivyo stesheni ya Mazinde Mkoani Tanga. Reli ya Kaskazini 'kwishne' kama reli hii ingekarabatiwa ingeweza kutumika kusafirisha abiria na mizigo,hivyo kusaidia kutunza barabara ya Chalinze Arusha kwani mizigo mizito ingesafirishwa kwa gari moshi. Vijiji inamopita reli hiyo vingenufaika sana kiuchumi. Hivi kweli tumeshindwa kuifufua reli ya Kaskazini au ubinafsi. Pichani Stesheni ya gari Moshi ya Mazinde, kibao kinaning'inia lakini gari moshi hakuna na nyasi zimeota kwenye reli na kuta za reli kuporomoka

No comments: