Monday, January 30, 2012

Na huu ndiyo Mlima Meru

Mlima Meru ni mmoja kati ya milima mirefu nchini Tanzania. Nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi tulifundishwa wimbo mmoja kuhusu milima ya Tanzania "Milima ya Tanzania, Kilimanjaro na Meru, Rungwe hata Livingstone, Usambara, Uluruguru na ..... milima ya Iringa! (Pengine hii ndiyo iliyokuwa chachu ya mimi kulipenda somo la Jiografia na hatimaye kusoma combination ya CBG - a.k.a cabbage).

No comments: