Monday, January 30, 2012

Prof. Apollonia Kerenge

Professor Apollonia Kerenge ni mmoja ya wahadhiri waandamizi na wazoefu katika Chuo cha ESAMI kilichoko jijini Arusha nchini Tanzania. Yeye ni Mchumi kitaaluma na amefanya kazi sehemu nyingi ndani na nje ya nchi. Zaidi amebobea katika masuala ya jinsia na Watanzania wachchache ninaowafahamu ambao wanaweza kutoa uchambuzi wa kina kuhusu masuala ya jinsia na kuweza kukuelekeza inavyoweza kufanyika ili yatumike kwenye sera zetu, mipango yetu ya maendeleo, miradi na bajeti.

No comments: