Monday, January 30, 2012

Chuo cha Nelson Mandela

Hiki ni Chuo kipya cha Kimataifa cha Sayansi na Teknolojia kilichopo mkoani Arusha. Chuo hiki kimejengwa pale ilipokuwa CARMATEC.Madhumuni ya Chuo hiki ni kutoa Elimu ya Juu ya Sayansi viwango vya shahada za uzamili na Uzamivu. Uwekezaji unaoendelea katika Chuo hiki ni wa kiwango cha Kimataifa na endapo kitaendeshwa na kutunzwa vizuri kitatisha kwa viwango vya utaalamu.



No comments: